2 Fal. 25:24 Swahili Union Version (SUV)

Na Gedalia akawaapia wao na watu wao, akawaambia, Msiogope kwa ajili ya watumishi wa Wakaldayo; kaeni katika nchi; mkamtumikie mfalme wa Babeli; itakuwa vyema kwenu.

2 Fal. 25

2 Fal. 25:19-30