2 Fal. 24:20 Swahili Union Version (SUV)

Maana kwa sababu ya hasira ya BWANA mambo hayo yalitokea katika Yerusalemu na katika Yuda, hata alipokuwa amewaondosha wasiwe mbele ya uso wake; naye Sedekia akamwasi mfalme wa Babeli.

2 Fal. 24

2 Fal. 24:16-20