2 Fal. 24:18 Swahili Union Version (SUV)

Sedekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mmoja alipoanza kutawala; akatawala miaka kumi na mmoja katika Yerusalemu; na jina la mamaye aliitwa Hamutali, binti Yeremia wa Libna.

2 Fal. 24

2 Fal. 24:11-20