2 Fal. 23:6 Swahili Union Version (SUV)

Naye akaiondoa Ashera katika nyumba ya BWANA, nje ya Yerusalemu, mpaka Kidroni, akaipiga moto penye kijito cha Kidroni, na kuiponda-ponda iwe mavumbi, akayatupa mavumbi yake juu ya makaburi ya watu.

2 Fal. 23

2 Fal. 23:1-8