2 Fal. 23:36 Swahili Union Version (SUV)

Yehoyakimu alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala; akatawala miaka kumi na mmoja huko Yerusalemu; na jina la mamaye aliitwa Zebida binti Pedaya wa Ruma.

2 Fal. 23

2 Fal. 23:31-37