2 Fal. 23:33 Swahili Union Version (SUV)

Naye Farao-neko akamfunga huko Ribla, katika nchi ya Hamathi, ili asitawale huko Yerusalemu. Akaitoza nchi kodi talanta mia za fedha na talanta ya dhahabu.

2 Fal. 23

2 Fal. 23:31-35