2 Fal. 23:31 Swahili Union Version (SUV)

Yehoahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitatu alipoanza kutawala; akatawala miezi mitatu katika Yerusalemu; na jina la mamaye aliitwa Hamutali binti Yeremia wa Libna.

2 Fal. 23

2 Fal. 23:26-35