2 Fal. 23:26 Swahili Union Version (SUV)

Walakini BWANA hakuuacha ukali wa ghadhabu yake nyingi, ambayo kwayo hasira yake iliwaka juu ya Yuda, kwa sababu ya machukizo yote ambayo Manase amemchukiza.

2 Fal. 23

2 Fal. 23:20-32