2 Fal. 23:19 Swahili Union Version (SUV)

Na nyumba zote pia za mahali pa juu palipokuwa katika miji ya Samaria, wafalme wa Israeli walizozifanya, ili kumkasirisha BWANA, Yosia aliziondoa, akazitenda kwa mfano wa mambo yote aliyoyatenda katika Betheli.

2 Fal. 23

2 Fal. 23:11-23