2 Fal. 21:6 Swahili Union Version (SUV)

Akampitisha mwanawe motoni, akatazama bao, akafanya uganga, akajishughulisha na hao wenye pepo wa utambuzi, na wachawi; akafanya mabaya mengi machoni pa BWANA, hata kumkasirisha.

2 Fal. 21

2 Fal. 21:1-14