2 Fal. 21:19 Swahili Union Version (SUV)

Amoni alikuwa na umri wa miaka ishirini na miwili alipoanza kutawala; akatawala miaka miwili huko Yerusalemu; na jina la mama yake aliitwa Meshulemethi, binti Haruzi wa Yotba.

2 Fal. 21

2 Fal. 21:12-21