2 Fal. 21:13 Swahili Union Version (SUV)

Nami nitanyosha juu ya Yerusalemu kamba ya Samaria, na timazi ya nyumba ya Ahabu; nami nitaifuta Yerusalemu, kama mtu afutavyo sahani, kuifuta na kuifudikiza.

2 Fal. 21

2 Fal. 21:3-14