2 Fal. 20:8 Swahili Union Version (SUV)

Hezekia akamwambia Isaya, Je! Kutakuwa na ishara gani ya kwamba BWANA ataniponya, nami siku ya tatu nitapanda nyumbani kwa BWANA.

2 Fal. 20

2 Fal. 20:1-15