2 Fal. 2:4 Swahili Union Version (SUV)

Eliya akamwambia, Tafadhali, kaa hapa, Elisha; maana BWANA amenituma niende mpaka Yeriko. Akasema, Kama BWANA aishivyo, na roho yako iishivyo, sitakuacha. Nao wakafika Yeriko.

2 Fal. 2

2 Fal. 2:1-14