2 Fal. 2:21 Swahili Union Version (SUV)

Akatoka akaenda mpaka chemchemi ya maji, akatupa ile chumvi humo ndani, akasema, BWANA asema hivi, Nimeyaponya maji haya; hakutatoka huko tena kufa wala kuzaa mapooza.

2 Fal. 2

2 Fal. 2:16-23