2 Fal. 2:11 Swahili Union Version (SUV)

Ikawa, walipokuwa wakiendelea mbele na kuongea, tazama! Kukatokea gari la moto, na farasi wa moto, likawatenga wale wawili; naye Eliya akapanda mbinguni kwa upepo wa kisulisuli.

2 Fal. 2

2 Fal. 2:3-13