2 Fal. 19:37 Swahili Union Version (SUV)

Ikawa, alipokuwa akiabudu nyumbani mwa Nisroki, mungu wake, Adrameleki na Shareza wakampiga kwa upanga; wakaikimbilia nchi ya Ararati. Na Esar-hadoni mwanawe akatawala mahali pake.

2 Fal. 19

2 Fal. 19:27-37