2 Fal. 19:26 Swahili Union Version (SUV)

Ndiyo sababu wenyeji wao walikuwa na nguvu chache, wakafadhaika, na kuhangaika; wakawa kama majani ya mashamba, kama miche mibichi, kama majani juu ya dari, na kama ngano iliyokaushwa kabla haijaiva.

2 Fal. 19

2 Fal. 19:17-31