2 Fal. 19:14 Swahili Union Version (SUV)

Basi Hezekia akaupokea waraka katika mikono ya wale wajumbe, akausoma; kisha Hezekia akapanda, akaingia katika nyumba ya BWANA, akaukunjua mbele za BWANA.

2 Fal. 19

2 Fal. 19:7-21