2 Fal. 17:41 Swahili Union Version (SUV)

Basi mataifa hawa wakamcha BWANA, tena wakaziabudu sanamu zao za kuchongwa; na wana wao vile vile, na wana wa wana wao; kama walivyofanya baba zao, wao nao hufanya vivyo hivyo hata leo.

2 Fal. 17

2 Fal. 17:37-41