2 Fal. 17:35 Swahili Union Version (SUV)

hao ambao BWANA alifanya agano nao, akawaamuru, akasema, Msiche miungu mingine, wala kuisujudia, wala kuitumikia, wala kuitolea sadaka;

2 Fal. 17

2 Fal. 17:33-41