2 Fal. 17:21 Swahili Union Version (SUV)

Maana aliwatenga mbali Israeli na nyumba ya Daudi; nao wakamfanya Yeroboamu mwana wa Nebati kuwa mfalme; Yeroboamu akawavuta Israeli wasimfuate BWANA, akawakosesha kosa kubwa.

2 Fal. 17

2 Fal. 17:15-24