2 Fal. 16:8 Swahili Union Version (SUV)

Ahazi akatwaa fedha na dhahabu iliyoonekana katika nyumba ya BWANA, na katika hazina za nyumba ya mfalme, akazipeleka kwa mfalme wa Ashuru kuwa zawadi.

2 Fal. 16

2 Fal. 16:1-18