2 Fal. 16:2 Swahili Union Version (SUV)

Alikuwa na umri wa miaka ishirini alipoanza kutawala; akatawala miaka kumi na sita katika Yerusalemu; wala hakufanya mema machoni pa BWANA Mungu wake, kama Daudi babaye.

2 Fal. 16

2 Fal. 16:1-6