2 Fal. 16:17 Swahili Union Version (SUV)

Mfalme Ahazi akakata papi za matako, akaliondoa lile birika juu yake; akaitelemsha ile bahari itoke juu ya ng’ombe za shaba zilizokuwa chini yake, akaiweka juu ya sakafu ya mawe.

2 Fal. 16

2 Fal. 16:9-20