2 Fal. 14:2 Swahili Union Version (SUV)

Naye alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala; akatawala miaka ishirini na kenda katika Yerusalemu; na jina la mamaye aliitwa Yehoadani wa Yerusalemu.

2 Fal. 14

2 Fal. 14:1-4