2 Fal. 14:15 Swahili Union Version (SUV)

Basi mambo yote ya Yehoashi yaliyosalia, aliyoyafanya, na ushujaa wake, na jinsi alivyopigana na Amazia mfalme wa Yuda, je! Hayakuandikwa katika kitabu-cha-tarehe cha wafalme wa Israeli?

2 Fal. 14

2 Fal. 14:11-23