2 Fal. 14:11 Swahili Union Version (SUV)

Lakini Amazia hakutaka kusikia. Basi Yehoashi mfalme wa Israeli akakwea; wakatazamana uso kwa uso, yeye na Amazia mfalme wa Yuda, huko Beth-shemeshi ulio wa Yuda.

2 Fal. 14

2 Fal. 14:9-14