2 Fal. 13:23 Swahili Union Version (SUV)

Lakini BWANA akawahurumia, akawasikitikia, na kuwaangalia, kwa ajili ya agano lake na Ibrahimu, na Isaka, na Yakobo, wala hakutaka kuwaangamiza, wala hakuwatupa usoni pake bado.

2 Fal. 13

2 Fal. 13:18-25