2 Fal. 13:21 Swahili Union Version (SUV)

Ikawa, walipokuwa wakimzika mtu, angalia, waliona kikosi; wakamtupa yule mtu kaburini mwa Elisha; mara yule maiti alipoigusa mifupa ya Elisha, alifufuka, akasimama kwa miguu.

2 Fal. 13

2 Fal. 13:14-25