2 Fal. 13:12 Swahili Union Version (SUV)

Basi mambo yote ya Yehoashi yaliyosalia, na yote aliyoyafanya, na ushujaa wake aliopigania na Amazia mfalme wa Yuda, je! Hayakuandikwa katika kitabu-cha-tarehe cha wafalme wa Israeli?

2 Fal. 13

2 Fal. 13:3-22