2 Fal. 10:9 Swahili Union Version (SUV)

Ikawa asubuhi, akatoka, akasimama, akawaambia watu wote, Ninyi ni wenye haki; tazameni, mimi nalifanya fitina juu ya bwana wangu, nikamwua; ila ni nani aliyewapiga hawa wote?

2 Fal. 10

2 Fal. 10:1-12