2 Fal. 10:29 Swahili Union Version (SUV)

Walakini katika makosa yake Yeroboamu mwana wa Nebati, ambayo kwa hayo aliwakosesha Israeli, Yehu hakutoka katika kuyafuata, yaani, ndama za dhahabu zilizokuwako katika Betheli na Dani.

2 Fal. 10

2 Fal. 10:19-36