2 Fal. 10:21 Swahili Union Version (SUV)

Yehu akatuma wajumbe katika Israeli yote, nao wote waliomwabudu Baali wakaja, wala hakusalia mtu ye yote asiyekuja. Wakaingia nyumbani mwa Baali; ikajaa nyumba ya Baali tangu mlango hata mlango.

2 Fal. 10

2 Fal. 10:13-29