2 Fal. 10:14 Swahili Union Version (SUV)

Akasema, Wakamateni wa hai. Wakawakamata wa hai, wakawaua penye birika ya nyumba ya kukatia manyoya kondoo, watu arobaini na wawili; wala hakumsaza mtu wao awaye yote.

2 Fal. 10

2 Fal. 10:12-19