2 Fal. 10:1 Swahili Union Version (SUV)

Basi Ahabu alikuwa na wana sabini katika Samaria. Yehu akaandika barua, akazipeleka Samaria kwa wakuu wa Yezreeli, yaani, wazee na hao walezi wa wana wa Ahabu, kusema,

2 Fal. 10

2 Fal. 10:1-4