2 Fal. 1:2 Swahili Union Version (SUV)

Na Ahazia akaanguka katika dirisha la chumba chake orofani, katika Samaria, akaugua; akatuma wajumbe, akawaambia, Enendeni mkaulize kwa Baal-zebubu, mungu wa Ekroni, kwamba nitapona ugonjwa huu.

2 Fal. 1

2 Fal. 1:1-8