1 Yoh. 3:8 Swahili Union Version (SUV)

atendaye dhambi ni wa Ibilisi; kwa kuwa Ibilisi hutenda dhambi tangu mwanzo. Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alidhihirishwa, ili azivunje kazi za Ibilisi.

1 Yoh. 3

1 Yoh. 3:1-12