1 Yoh. 3:12 Swahili Union Version (SUV)

si kama Kaini alivyokuwa wa yule mwovu, akamwua ndugu yake. Naye alimwua kwa sababu gani? Kwa sababu matendo yake yalikuwa mabaya, na ya ndugu yake yalikuwa ya haki.

1 Yoh. 3

1 Yoh. 3:11-20