1 Yoh. 2:13 Swahili Union Version (SUV)

Nawaandikia ninyi, akina baba, kwa sababu mmemjua yeye aliye tangu mwanzo. Nawaandikia ninyi, vijana, kwa sababu mmemshinda yule mwovu. Nimewaandikia ninyi, watoto, kwa sababu mmemjua Baba.

1 Yoh. 2

1 Yoh. 2:6-17