1 Tim. 5:21 Swahili Union Version (SUV)

Nakuagiza mbele za Mungu, na mbele za Kristo Yesu, na mbele za malaika wateule, uyatende hayo pasipo kuhukumu kwa haraka; usifanye neno lo lote kwa upendeleo.

1 Tim. 5

1 Tim. 5:11-25