1 Tim. 5:13 Swahili Union Version (SUV)

Tena, pamoja na hayo, hujifunza kuwa wavivu, wakizunguka-zunguka nyumba kwa nyumba; wala si wavivu tu, lakini ni wachongezi na wadadisi, wakinena maneno yasiyowapasa.

1 Tim. 5

1 Tim. 5:6-21