1 Tim. 5:10 Swahili Union Version (SUV)

naye ameshuhudiwa kwa matendo mema; ikiwa amelea watoto, ikiwa amekaribisha wageni, ikiwa amewaosha watakatifu miguu, ikiwa amewasaidia wateswao, ikiwa amefuata kwa bidii kila tendo jema.

1 Tim. 5

1 Tim. 5:2-13