1 Sam. 9:8 Swahili Union Version (SUV)

Yule mtumishi akamjibu Sauli, akasema, Tazama, mkononi mwangu nina robo ya shekeli ya fedha; nitampa huyo mtu wa Mungu fedha hiyo, atuambie njia yetu.

1 Sam. 9

1 Sam. 9:5-9