1 Sam. 9:22 Swahili Union Version (SUV)

Naye Samweli akamtwaa Sauli na mtumishi wake, akawaleta ndani sebuleni, akawaketisha mahali pa heshima kati ya watu walioalikwa, nao jumla yao walikuwa kama watu thelathini.

1 Sam. 9

1 Sam. 9:20-25