1 Sam. 9:2 Swahili Union Version (SUV)

Naye alikuwa na mwana, aliyeitwa jina lake Sauli, kijana, tena mzuri; wala katika wana wa Israeli hakuwako mtu mzuri kuliko yeye; tangu mabega yake kwenda juu alikuwa mrefu kuliko watu wote.

1 Sam. 9

1 Sam. 9:1-4