1 Sam. 8:12 Swahili Union Version (SUV)

Naye atawaweka kwake kuwa maakida juu ya elfu, na maakida juu ya hamsini; na wengine atawaweka walime shamba lake, na kuvuna mavuno yake, na kufanyiza zana zake za vita, na vyombo vya magari yake.

1 Sam. 8

1 Sam. 8:11-13