1 Sam. 7:6 Swahili Union Version (SUV)

Wakakusanyika huko Mispa, wakateka maji na kuyamimina mbele za BWANA; wakafunga siku ile, wakasema huko, Tumemfanyia BWANA dhambi. Samweli akawaamua wana wa Israeli huko Mispa.

1 Sam. 7

1 Sam. 7:1-8