1 Sam. 7:12 Swahili Union Version (SUV)

Ndipo Samweli akatwaa jiwe, na kulisimamisha kati ya Mispa na Sheni, akaliita jina lake Eben-ezeri, akisema, Hata sasa BWANA ametusaidia.

1 Sam. 7

1 Sam. 7:11-13