1 Sam. 7:1 Swahili Union Version (SUV)

Na hao watu wa Kiriath-yearimu wakaja, wakalichukua sanduku la BWANA, wakalileta ndani ya nyumba ya Abinadabu huko kilimani, nao wakamtenga Eleazari, mwanawe, ili alilinde sanduku la BWANA.

1 Sam. 7

1 Sam. 7:1-11